11 Учебник языка суахили для второго курса.pdf

(1092 KB) Pobierz
Петре�½ко Н.Т. Учеб�½ик языка суахили [для 2 курса] / Н. Т. Петре�½ко ; МГИМО(У)
МИД России, каф. и�½доира�½. и афр. яз. – М. : МГИМО, 2003. – 336 с.
Н.Т. ПЕТРЕНКО
УЧЕБНИК ЯЗЫКА СУАХИЛИ
ДЛЯ ВТОРОГО КУРСА
ПРЕДИСЛОВИЕ
Настоящий учеб�½ик имеет ли�½гво-стра�½оведческую
�½аправле�½�½ость и орие�½тирова�½ �½а студе�½тов, прошедших
подготовку в объеме базовой грамматики языка суахили в тех
высших учеб�½ых заведе�½иях, где суахили является од�½ой из
ос�½ов�½ых учеб�½ых дисципли�½.
Цель учеб�½ика – дать студе�½там более глубокие з�½а�½ия по
грамматике языка суахили, увеличить их словар�½ый запас,
позволить им соверше�½ствовать �½авыки перевода, уст�½ой и
письме�½�½ой речи �½а материале ориги�½аль�½ых текстов и
получить допол�½итель�½ые сведе�½ия об истории, эко�½омике и
культуре, а также совреме�½�½ой жиз�½и стра�½ изучаемого
регио�½а.
Учеб�½ик состоит из 8 круп�½ых уроков-тем:
1. Та�½за�½ия – ее география, города, �½аселе�½ие.
2. Окружающая среда – природ�½ые богатства, живот�½ый и
раститель�½ый мир.
3. Эт�½ический состав; традиции и обычаи �½ародов ба�½ту.
4. Эко�½омика – промышле�½�½ость, сельское хозяйство,
тра�½спорт.
5. Стра�½ицы истории.
6. Здравоохра�½е�½ие, образова�½ие, религия.
7. Нацио�½аль�½ые празд�½ики, туризм, проблемы экологии.
8. Язык, литература и искусство.
Каждая тема представле�½а тремя ос�½ов�½ыми текстами �½а
суахили, за которыми следуют лексико-грамматические
комме�½тарии, включающие достаточ�½о большой объем �½овой
грамматики,
а
и�½огда
допол�½итель�½ую,
более
детализирова�½�½ую
и�½формацию
об
уже
извест�½ых
грамматических явле�½иях. Также в этом разделе дается перевод
3
или объяс�½е�½ие лексических, стилистических и других
труд�½остей, встретившихся в тексте.
В каждый урок включе�½ы допол�½итель�½ые тексты,
диалоги, лексически соответствующие зада�½�½ой теме, а также
комплекс упраж�½е�½ий, �½ацеле�½�½ых �½а усвое�½ие и закрепле�½ие
�½ового лексического и грамматического материала.
В заключитель�½ой части урока дается подборка
материалов фольклор�½ого жа�½ра, таких как сказки, пословицы,
загадки и т.п., призва�½�½ых спровоцировать у студе�½та
допол�½итель�½ый и�½терес к изуче�½ию традиций, �½равов,
бытовых сторо�½ жиз�½и �½ародов ба�½ту.
Каждый урок завершается списком �½овой лексики,
размеще�½�½ой в порядке поступле�½ия в текстах. Сред�½ее
количество вводимых слов �½а урок – 140-150 еди�½иц.
При �½аписа�½ии да�½�½ого учеб�½ика был обработа�½ большой
объем ориги�½аль�½ого языкового материала. Все ос�½ов�½ые
тексты уроков, допол�½итель�½ые тексты, диалоги были
отредактирова�½ы автором с точки зре�½ия их композицио�½�½ого
построе�½ия. При этом языковая часть сохра�½е�½а практически в
�½еадаптирова�½�½ом виде. В качестве источ�½ика использовались
материалы
публицистики
исторической,
эт�½ической,
географической тематики, совреме�½�½ая периодическая печать
изучаемого регио�½а, ориги�½аль�½ые произведе�½ия суахилийской
литературы и фольклора, материалы и�½тер�½ета.
Автор
при�½осит
благодар�½ость
профессорско-
преподавательскому коллективу кафедры и�½доира�½ских и
африка�½ских языков МГИМО (У) за ко�½структив�½ые замеча�½ия
и редактирова�½ие русской части рукописи учеб�½ика.
Автор также выражает особую приз�½атель�½ость Н.В.
Громовой,
профессору
ИСАА
при
МГУ,
доктору
филологических �½аук, чья компете�½т�½ая помощь и редактура
рукописи позволили завершить работу �½ад да�½�½ым учеб�½иком.
УРОК №1.
TANZANIA NA MIJI YAKE
4
ТЕКСТ №1
NCHI YETU NA WANANCHI
Nchi ya Tanganyika ipo katika Afrika ya Mashariki, kati ya
Maziwa matatu makubwa ya Afrika na Bahari ya Hindi. Ipo kusini
kidogo tu ya Mstari wa Ikweta. Nchi zilizo jirani (1) na nchi yetu ni
Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Kongo, Zambia, Malawi na
Msumbiji.
Mashariki mwa nchi ya Tanganyika kuna visiwa viwili
vinavyotuhusu sana. Visiwa hivyo ni Zanzibar na Pemba ambavyo
vyote pamoja kama kawaida hutajwa kwa jina moja tu yaani Zanz-
ibar au Unguja.
Tanganyika na Unguja ni nchi jirani kwa jiografia, historia,
lugha, mila, tabia na siasa. Kwa hivyo siku fulani wananchi wa
Tanganyika na Unguja waliamua kuungana na kuwa nchi moja.
Tarehe 22 Aprili mwaka 1964, Rais wa Jamhuri ya Tanganyika,
Mwalimu Julius K. Nyerere, na Rais wa Jamhuri ya Watu wa Un-
guja na Pemba, Sheikh Abeid Karume, walitia saini Hati ya
Muungano kati ya nchi zao mbili. Chini ya Hati hiyo Tanganyika na
Unguja zikawa nchi moja. Sherehe kubwa ilifanyika tarehe 27
Aprili, 1964, katika Jumba la Karimjee mjini Dar es Salaam ya
kubadilishana Katiba za Serikali na kuanzisha Serikali mpya yaani
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Jina la “Tanzania”
lilichaguliwa na Baraza la Mawaziri kutokana na majina yaliyoletwa
kwa ajili ya mashindano ya kuchagua jina la Jamhuri ya Muungano.
Linatokana na “Tan-”, mwanzo wa neno “Tanganyika” na “Zan-”,
mwanzo wa neno “Zanzibar” na “-ia” mwishoni ili kulipa jina hilo
jipya umbile la Kiswahili. Basi Taifa jipya lilizaliwa siku hiyo.
Tukitaja sehemu ya Tanzania inayohusu Tanganyika husema
“Tanzania bara”, na ile sehemu ya Unguja na Pemba huitwa “Tanza-
nia visiwani”.
Eneo la Tanzania bara huchukua kilomita za mraba kiasi cha
laki tisa na arobaini elfu. Na sehemu yake ya visiwani haichukui
eneo kubwa, yaani kilomita za mraba elfu mbili na mia sita tu.
Sehemu kubwa ya eneo la nchi yetu imefunikwa kwa maji ya
maziwa. Miongoni mwa maziwa hayo ni Rukwa, Nyasa, Manyara,
Natron, Jipe, Victoria na ziwa Tanganyika.
5
Miujiza miwili mikubwa ya jiografia katika Bara la Afrika imo
nchini mwetu. Mmoja wa miujiza hiyo ni Mlima Kilimanjaro ambao
ni mlima mrefu kuliko yote iliyomo Afrika. Mlima Kilimanjaro ni
mnara wa Afrika na urefu wake toka usawa wa bahari ni futi 19,340,
yaani mita karibu elfu tano na mia tisa. Mwujiza wa pili ni lile
Bonde la Ufa mashuhuri linalopitia sehemu nyingi za Afrika
Mashariki hadi Asia ambamo limo ziwa Tanganyika lenye kilindi
kirefu zaidi ya maziwa yote ya Afrika. Kwa kina cha kilindi chake
ziwa Tanganyika ni la pili ulimwenguni. La kwanza ni Ziwa Baikal
huko Urusi.
Kwa jumla Tanzania si nchi yenye joto kama awezavyo (2)
kuifikiria mtu ambaye hajafika huko kama ilivyo (2) kawaida ya
nchi zilizo karibu (1) na Ikweta. Na hali hiyo inasabibishwa na hali
ya kuinuka inuka (3) kwa nchi. Kwa sababu hiyo pia, Kenya si nchi
ya joto. Kwa sababu hiyo pia wageni kutoka nchi zenye baridi duni-
ani huonekana wakiishi kwa starehe baada ya kuhamia katika nchi
yetu.
Kwa hali ya nchi Tanzania bara inaweza kugawanywa katika
sehemu tatu:
a) Sehemu ya pwani na sehemu za bara zilizo karibu (1) na
pwani ambazo hali yake ni ya joto joto (3). Mvua za mwaka mzima
ni kiasi cha wastani, si nyingi sana.
b) Sehemu za mrima zilizo karibu (1) na katikati ya nchi am-
bazo zina mvua haba. Hali ya joto hapa hugeukageuka (3) kufuata
majira ya mwaka. Kwa jumla kuna joto si kidogo.
c) Sehemu zenye miinuko na ambazo zina hali ya kupendeza.
Katika sehemu hizo baridi ni nyingi ya kutosha hasa wakati wa
usiku. Baadhi ya sehemu hizo ni Usambaa, Kilimanjaro, Iringa,
Mbeya na Rungwe. Huko, kwa jumla, kila mtu hupenda kujifunika
blanketi nzito nzito (3) wakati wa usiku - hata wale ambao asili yao
ni sehemu za baridi ulimwenguni. Sehemu hizo, kwa kawaida, zina
mvua za kutosha pia.
Nchi yetu inakaliwa na taifa ambalo ni mchanganyiko wa
makabila mengi. Makabila ya wananchi yapata mia na ishirini hivi
(4). Makabila yote ya wananchi katika nchi yetu ambayo kwayo (5)
taifa letu limeundwa, ni yenye asili ya Kibantu kwa jumla.
6
Zgłoś jeśli naruszono regulamin